MUONGOZO Mwepesi WA MUISLAMU

SHERIA NYEPESI NA UFAFANUZI MUHIMU WA KISHERIA KATIKA KUAMINI, KUABUDU NA NYANJA ZOTE ZA MAISHA

IMANI YA MUISLAMU

Ujumbe wa Mitume wote kwa watu wao umeafikiana juu ya kumuabudu Allah pekee asiyekuwa na mshirika, na kuwakataa wale wanaobudiwa badala ya Allah. Hii ndio hakika ya maana ya Laa...

USAFI WA MUISLAMU

Allah amemuamrisha Muislamu kuusafisha moyo wake uondokane na maradhi ya nyoyo, kama: husda, kiburi na mfundo. Pia kuusafisha mwili wake uondokane na najisi na uchafu. Muislamu...

SWALA

Swala ndio nguzo kubwa ya dini na ni mafungamano ya mja na Mola wake. Kwa sababu hiyo, swala imekuwa ibada kubwa sana na yenye hadhi tukufu mno. Allah amemuamrisha Muislamu kudumu...

FUNGA

Allah amefaradhisha kwa Waislamu kufunga mwezi mmoja katika mwaka. Ni mwezi wa Ramadhan uliobarikiwa. Ameufanya kuwa ni nguzo ya nne katika nguzo za Uislamu na ni katika majengo...

ZAKA

Allah amefaradhisha Zaka na kuifanya nguzo ya tatu katika nguzo za Uislamu, amemuahidi adhabu kali mwenye kuacha kutoa Zaka, ameufungamanisha udugu wa Kiislamu kwa kutubu, kuswali...

HIJA

Kuhiji Makka ni nguzo ya tano katika nguzo za Uislamu, na ni ibada inayo kusanya aina kadhaa za ibada za kimwili, kiroho na mali. Ni wajibu kutekeleza kwa mwenye uwezo wa mali na...

KUFA NA KUZIKA

Kifo sio mwisho wa mambo, lakini ni hatua mpya kwa mwanadamu na ni mwanzo wa maisha kamili ya Akhera. Uislamu kama ulivyo fanya hima kubwa ya kuzilinda haki tangu wakati wa...

TABIA ZA MUISLAMU

Tabia njema katika Uislamu sio jambo la anasa wala la ziada. Tabia njema ni sehemu muhimu inayofungamana na dini katika pande zake zote. Tabia na maadili mema katika Uislamu yana...

MIAMALA YA KIFEDHA

Uislamu umeweka kanuni na sheria zote ambazo zinamlida mwanadamu na pia kulinda haki zake za mali na kazi; sawa mwanadamu awe tajiri au masikini. Pia kanuni na sheria hizi zina...

VYAKULA

Chakula halali kina nafasi kubwa katika Uislamu. Chakula halali ni sababu ya kukubaliwa kwa dua na baraka katika mali na familia. Makusudio ya chakula halali ni kile kitu ambacho...

MAVAZI YA MUISLAMU

Mavazi ni neema miongoni mwa neema za Allah kwa watu. Allah Mtukufu amesema kuwa: ‘‘Enyi wanadamu, kwa yakini kabisa tumekuteremshieni nguo zinazositiri tupu zenu na nguo za...

FAMILIA YA KIISLAMU

Uislamu umetilia mkazo sana kuiimarisha familia na kuilinda dhidi ya mambo yanayoweza kuidhuru na kuhatarisha uwepo wake, kwa sababu kuimarika kwa familia ndio kuimarika kwa mtu...

DUA NA NYIRADI

Kumtaja Allah ni mojawapo ya ibada zenye malipo makubwa sana na zenye manufaa kwa mja duniani na akhera na, kwa sababu yake, mja anazidi kupata hadhi na kuwa karibu na Muumba wake...

IMANI YA MUISLAMU

Ujumbe wa Mitume wote kwa watu wao umeafikiana juu ya kumuabudu Allah pekee asiyekuwa na mshirika, na kuwakataa wale wanaobudiwa badala ya Allah. Hii ndio hakika ya maana ya Laa...

USAFI WA MUISLAMU

Allah amemuamrisha Muislamu kuusafisha moyo wake uondokane na maradhi ya nyoyo, kama: husda, kiburi na mfundo. Pia kuusafisha mwili wake uondokane na najisi na uchafu. Muislamu...

SWALA

Swala ndio nguzo kubwa ya dini na ni mafungamano ya mja na Mola wake. Kwa sababu hiyo, swala imekuwa ibada kubwa sana na yenye hadhi tukufu mno. Allah amemuamrisha Muislamu kudumu...

FUNGA

Allah amefaradhisha kwa Waislamu kufunga mwezi mmoja katika mwaka. Ni mwezi wa Ramadhan uliobarikiwa. Ameufanya kuwa ni nguzo ya nne katika nguzo za Uislamu na ni katika majengo...

ZAKA

Allah amefaradhisha Zaka na kuifanya nguzo ya tatu katika nguzo za Uislamu, amemuahidi adhabu kali mwenye kuacha kutoa Zaka, ameufungamanisha udugu wa Kiislamu kwa kutubu, kuswali...

HIJA

Kuhiji Makka ni nguzo ya tano katika nguzo za Uislamu, na ni ibada inayo kusanya aina kadhaa za ibada za kimwili, kiroho na mali. Ni wajibu kutekeleza kwa mwenye uwezo wa mali na...

KUFA NA KUZIKA

Kifo sio mwisho wa mambo, lakini ni hatua mpya kwa mwanadamu na ni mwanzo wa maisha kamili ya Akhera. Uislamu kama ulivyo fanya hima kubwa ya kuzilinda haki tangu wakati wa...

TABIA ZA MUISLAMU

Tabia njema katika Uislamu sio jambo la anasa wala la ziada. Tabia njema ni sehemu muhimu inayofungamana na dini katika pande zake zote. Tabia na maadili mema katika Uislamu yana...

MIAMALA YA KIFEDHA

Uislamu umeweka kanuni na sheria zote ambazo zinamlida mwanadamu na pia kulinda haki zake za mali na kazi; sawa mwanadamu awe tajiri au masikini. Pia kanuni na sheria hizi zina...

VYAKULA

Chakula halali kina nafasi kubwa katika Uislamu. Chakula halali ni sababu ya kukubaliwa kwa dua na baraka katika mali na familia. Makusudio ya chakula halali ni kile kitu ambacho...

MAVAZI YA MUISLAMU

Mavazi ni neema miongoni mwa neema za Allah kwa watu. Allah Mtukufu amesema kuwa: ‘‘Enyi wanadamu, kwa yakini kabisa tumekuteremshieni nguo zinazositiri tupu zenu na nguo za...

FAMILIA YA KIISLAMU

Uislamu umetilia mkazo sana kuiimarisha familia na kuilinda dhidi ya mambo yanayoweza kuidhuru na kuhatarisha uwepo wake, kwa sababu kuimarika kwa familia ndio kuimarika kwa mtu...

DUA NA NYIRADI

Kumtaja Allah ni mojawapo ya ibada zenye malipo makubwa sana na zenye manufaa kwa mja duniani na akhera na, kwa sababu yake, mja anazidi kupata hadhi na kuwa karibu na Muumba wake...

Kuangalia Milango yote ya kitabu cha Mwongozo Mwepesi wa Muislam Bonyeza hapa

Maneno ya Msambazaji

Jambo kubwa kabisa kwa mwanadamu katika maisha yake ni kumuabudu Allah na kumtii katika maamrisho yake na makatazo yake,katika hilo kuna mafanikio ya duniani na akhera, na fahamu ya kuwa dini yote ni nyepesi, dini yote ndio kheri na dini yote ndio mafanikio. Kumuabudu Allah kunajumuisha nyanja...

Mwongozo Mwepesi wa Muislam

Mtandao wa Mwongozo Mwepesi wa Muislam ni kitabu cha Mtandaoni cha kitabu asili ‘Mwongozo Mwepesi wa Muislam’ ambacho ni moja ya mradi wa Kampuni ya Mwongozo wa Kisasa na kimetolewa katika Lugha Zaidi ya 15 na maudhui yake yameambatana na ujuzi mkubwa wa kimtandao katika kufikisha.

Modern Guide